Duniani Leo - Voice of America
Wapiga kura vijana Marekani wasema wanatamani wangekuwa na mgombea mwengine - Mei 02, 2024
Idadi kubwa ya wapiga kura vijana katika uchaguzi wa urais Marekani wanasema wanatamani wangekuwa na mtu mwengine asiyekuwa Joe Biden au Donald Trump waweze kumchagua.